Thursday 17 December 2009
Sunday 13 December 2009
MASHIMO SABA YA AJABU.
Yote haya ni maajabu yake Mwenyezi mungu kwa kutuonyesha sisi wanaadamu kwamba ulimwengu ni mpana na ni mkubwa hivyo hakuna ambae anaweza kuubadili ila yeye pekee!!!
MAMA NA MWANA.
Walipokua safarini mtoto alipata gharka lakini mama alijitahidi kumuokoa kutoka kwenye mdomo wa mnyama mwenye uchu na nyama ilikua kama picha la kihindi vile.
Wednesday 9 December 2009
Tuesday 8 December 2009
KWA KINA NGOSHA KUNABADILIKA!!!!!!!!!!!!!!!!
Ama kwa hakika jiji la Mwanza linapendeza kwa sasa, hivi karibuni lilitangazwa kuwa ni jiji safi nchini Tanzania hapa ni eneo mojawapo la jijini humo karibu na jengo la Schumann's Garage.
Picha hizi kwa hisani ya http://mtangazaji.blogspot.com/
Wednesday 2 December 2009
ALAMA TATA !!!!!!!!!!!!!
Saturday 28 November 2009
Friday 27 November 2009
Thursday 26 November 2009
10 days of Dhul Hijjah (Nov 18th-Nov 27th 2009).
Kwa wale wenzangu na mimi tufahamu ya kwamba waislamu wenzetu wapo Hijja na hii leo wapo Arafah.
Tuesday 24 November 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)