
Nikisema asili ni urembo ule waliozaliwa nao, kuna urembo wa kidoti *SPOT BEAUTY* ambavyo wakina dada zetu wengine hulazimika kujitodoa kwa wanja.
Hivi nini maana yake kujiongezea urembo usiokuwa nao?
Nawakilisha kwenu wadau.
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika.
No comments:
Post a Comment