Nyota wa riadha wa Afrika Kusini wa mbio za mita 800 za wanawake, kutokana na kuwa na misuli iliyojengeka kama mwanaume na uwezo wake mkubwa katika mbio hizo anafanyiwa uchunguzi wa jinsia yake kuthibitisha kuwa kweli ni mwanamke.
Semenya ambaye marafiki zake wanasema hajawahi kuwa na mpenzi wa kiume, ana misuli iliyojengeka, tumbo la miraba minne, sauti nzito kama ya kiume pamoja na vinyweleo usoni amekuwa akiandamwa na watu wanaohoji jinsia yake.
Kwa habari kamili unaweza ukawapa wadau link hii.
No comments:
Post a Comment