Huyu ndie Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid al Maktoum mtoto wa mfalme Mohammed bin Rashid Al Maktoum wa Dubai.
Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid al Maktoum safari yake ilikuwa ndefu sana na zipo picha nyingine nyingi alizopiga akiwa katika moja ya mbuga za wanyama hapa nchini Tanzania.
Hii ni sehemu ya pili ya safari hiyo.
Sehemu ya tatu endelea kutembelea blog hii.
No comments:
Post a Comment