Katika pita pita mitaani si haba kuona wadada kwa kina mama wamevaa vikukuu miguuni eti hivi iwa vinamaana gani?
Nasikia kila mguu unamaanake kama mguu wa kishoto unamaanake hata wa kulia pia unamaanake. Je ukichanganya yote inakuwaje ?
Nawakilisha wadau.
Nasikia kila mguu unamaanake kama mguu wa kishoto unamaanake hata wa kulia pia unamaanake. Je ukichanganya yote inakuwaje ?
Nawakilisha wadau.
4 comments:
KUNA MAANA AMBAZO SIO RASMI SANA ETI UKIVAA KIKUKU INAMANISHA KWAMWANAMKE ANATOA PENZI KNYUME NA MAUMBILE ILA UKIWAOJI WAO WANAOVAA WANADAI NI UREMBO TU KAMA ILIVYO KUVAA PETE KWENYE VIDOLE VYA MIGUUNI
KUNA MAANA AMBAZO SIO RASMI SANA ETI UKIVAA KIKUKU INAMANISHA KWAMWANAMKE ANATOA PENZI KNYUME NA MAUMBILE ILA UKIWAOJI WAO WANAOVAA WANADAI NI UREMBO TU KAMA ILIVYO KUVAA PETE KWENYE VIDOLE VYA MIGUUNI
Haina maana yoyote ya zaidi ya urembo acheni ulimbokeni!!! teh teh
ni kweli urembo ila pia wapo
wanao vaa wakiwa na maana ya kuingililwa kinyume na maumbile Yao....
Post a Comment