Thursday, 21 May 2009

JEZI MPYA YA ARSENAL AMBAYO ITAANZA KUONEKANA MSIMU UJAO.

Baadhi ya wachezaji wa klabu ya Arsenal wakiwa katika picha ya pamoja ya kuonyesha jezi mpya ya klabu hiyo.

Manuel Almunia


Franciss Fabregas

Theo Wallcot.

Eduardo, Sagna pamoja na Vella



Jezi hii ya Arsenal itakuwa inatumika pale timu itakapokuwa katika viwanja vya ugenini lakini kwa michezo ya nyumbani Arsenal wataendelea kuvaa jezi zao nyekundu.






No comments: