Saturday, 24 October 2009

KAMA WAKUMBUKA VIZURI.

Enzi hizo Tanzania tulikuwa na kituo kimoja cha radio, RTD. Piga ua ilikuwa lazima tu usikilize vipindi vyao kama vile.

1. Mbiu ya mikoa
2. Asilia salamu
3. Ukulima wa kisasa
4. Fimbo ya mnyonge

Nakwambia ilikuwa shughuli haswa, mwenye kukumbuka vinginvyo aongezee.

1 comment: