Kweli ushindwe kusoma hapa, ukishindwa kufanya hivyo basi utakuwa umerogwa na mtu ambae tayari tumeshamzika.
Wednesday, 10 June 2009
MANDHARI YA CHUO CHA MTAKATIFU TUMAINI MKOANI IRINGA.
Kweli ushindwe kusoma hapa, ukishindwa kufanya hivyo basi utakuwa umerogwa na mtu ambae tayari tumeshamzika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
5 comments:
This is Cool Man. Awesome pics.
Blessings to ya SK.
KWA WABONGO TUTASHINDWA KUSOMA HAPO KWANI HILO HULIFAHAMU.
HIVI HIYO KWELI NI TANZANI MBONA KAMA ULAYA VILE MWANA?
WANAFUNZI WA HAPO INAONEKANA WANAFANYA MCHEZO MPAKA UMETAFUTA USHAURI KWETU.
Hiki chuo cha Mtakatifu Tumaini ni kipya? Au ndio hicho hicho huwa chaitwa Tumaini University?
Nilisoma hapo miaka michache ilopita!
wow jamani he can u show us some more pics ya mitaa hiyo je huko kuna mji mkubwa au vipi kwa maana tunaona majengo tu ya chuo au kiko katikati ya pori will appreciate tukiona kama kuna mitaa au ni mbugani
Post a Comment